Recent content by NJALA LIKOKO

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ada mpya chuo cha kiu

    Habari zenu wana jf? Hivi ni kweli kuwa ada ya chuo kikuu cha kampala nchini Tanzania imepungua hadi kufikia laki nne kwa semester? Je kwa mwanafunzi anayeanza degree ya ualimu anatakiwa alipe kiasi gani kwa mwaka? Msaada wana jf.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Hello wana jamii forum!

    Wenga wa wapi ndongu wangu?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Ada chuo kikuu uria Tanzania kwa ngazi ya degree

    Asanteni kwa majibu yenu mazuri.naomba kufahamu unapolipia hizo unit mnafundishwa au mnajifundisha wenyewe?.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ada chuo kikuu uria Tanzania kwa ngazi ya degree

    Hapo kwenye x2 maana yake ninini naomba mnijuze waungwana. kwahiyo full ada ni kiasi gani?
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ada chuo kikuu uria Tanzania kwa ngazi ya degree

    Ndugu wana jamii wenzangu hasa wale wanaosoma open university degree ya ualimu naomba mnijuze ada kwa mwaka mmoja ni kiasi gani kwani nataka kuomba nafasi.Naomba msaada wa taarifa sahihi ndugu zangu.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Hello wana jamii forum!

    Naomba mnikaribishe katika forum.its me NJALA LIKOKO
Back
Top Bottom