Recent content by NJAKIHUTIKO

  1. NJAKIHUTIKO

    Prof Kabudi: Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika kuhusu kifo cha Sokoine kwamba Nyerere alihusika au alifaidika na kifo hicho

    Ndo kizazi hiki kilichokuwa kikipambana na Whites (Colonialists)....Hiki kizazi cha leo hata kupambana na Blacks wenzao Kimeshindwa....
  2. NJAKIHUTIKO

    Tundu Lissu: Wanakuja kunikamata, siogopi chochote. Nilishapigwa risasi sembuse kukamatwa?

    Acha Ukanda huyu Mwamba Legacy yake ni International wise.
  3. NJAKIHUTIKO

    Swali kumhusu Lissu lamkera Katibu Mkuu DP

    Huyu Kiongozi ana shida ya kutaja miaka Mfano. Alisema sasa hivi ni 2020, anasema Mfumo wa vyama vingi ulianza 2012...
  4. NJAKIHUTIKO

    John Mnyika ana elimu gani? Uwezo wake wakujibu hoja unatokana na mafunzo ya maprofesa wa bongo au akili za kuzaliwa?

    M Umemtendea HAKI MNYIKA....huyu Bwana ni GIFTED..... Never take him easy.....
  5. NJAKIHUTIKO

    Fatuma Karume amuumbua Tulia Ackson kuhusu Mauaji ya kinyama ya Ally Kibao

    Ameona aungane na Mkuu wa Nchi kuonesha Masikitiko.
  6. NJAKIHUTIKO

    PreGE2025 Mna uhakika CHADEMA ikishika dola italeta utofauti wowote?

    Issue siyo kubadilisha Viongozi/ Wanasiasa Suala ni Kubadilisha Mindset za jamii (UELEWA).....Wanasiasa hawa lao moja....(KUTAFUNA NCHI). Walioko Upinzani walikuwa CCM, waliopo CCM walikuwa UPINZANI....Anayeitwa FISADI leo huko CCM, kesho atapokelewa UPINZANI....Anayeitwa KAMANDA leo huko...
  7. NJAKIHUTIKO

    CCM yaitisha Kikao Kizito Maalumu cha kamati Kuu

    Kweli hujasoma vizuri, rudia tena.
  8. NJAKIHUTIKO

    TANZIA Naibu Waziri wa Elimu Mstaafu Mzee Nazar Nyoni afariki dunia

    Classmates zako hao wamefiwa na baba yao, watafute uwape pole....mkuu Huwa nalikumbuka tu swali lako kwa mwendazake....
  9. NJAKIHUTIKO

    Mambo niliyogundua kutokana na maandamano nchini Kenya

    Namba 4. hiyo ipo vizuri sana Kenya...Huku kwetu wapo Bize na Mapiano, Mondi, Crown, Konde Gang n.k
Back
Top Bottom