Nigeria and Ghana central banks have initiated launching of digital currencies, what could be the impact of having an east african digital coin serving the larger eastafrican region.
Your views guys an open discussion.
Wacha kuhamisha goli kisa kua umechengwa eleza jinsi picha ulioiweka hapo juu inavyo wiana na takwimu.wacha blah blah za kanipiga kisa kua sikua nimevua shati
Hoja zikikutoka kichwani sasa ni kukurupuka na picha.Basi Naibu Rais Ruto kapigwa picha na bibi kama kashikilia bakuli.hii ina uhusiano gani kitakwimu na mada?Itabidi sasa tuwe tunatumia kiswahili maana naona kiingereza kimemewazidi si siri
Haya naona una uelewa mzuri wa mikopo hadi unafahamu 64% ya PLT imo mifukoni mwa watu binasfi. Haya tueleze taratibu za kupata mkopo wa Kimataifa Kwa taifa na hatua inazopitia ndio wote tuweze kujadili kutokana na mtazamo utakao tupa
Aisee mambo ya mtandaoni yasije yakakuminya roho ukakata uhai yachukulie juu juu kama kuna jambo muhimu la kujifunza basi, mengine achia mbali.
Kama matamshi ya wakenya yanakukera kiasi hiki mtafute Col.Cyrus Oguna ndio msemaji wa serikali ya kenya natumai atakutuliza.Ila sheria ni sheria Uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.