Binafsi nimesoma Chuo Kikuu lakini nina akili zangu timamu. Kusoma University au kusoma Insitute hakuwezi kukufanya uwe na akili kama huna akili. Wanafunzi wa university wengi wamejengwa katika msingi wa kwamba wao ndiyo top lakini ukweli ni kwamba hawana hata akili. Hebu niambie kusoma kwako au...
Kabla sijaleta mada yangu kuhusu ubaguzi niliouona katika baadhi ya vyuo vikuu vya Tanzani ninaomba niwaulize swali moja la msingi. Je! kuna tofauti kati ya bacholor Degree ya inayoitwa university na inayoitwa Institution? Je! TCU inazitambua hizi bachor Degree kwa weight tofauti?
Mada
Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.