Jukwaa lenyewe limekaa kinafki tu. Mbona Star TV na Channel Ten wamekiuka makubaliano yao wala hawana hata Tamko. Vyombo vya Habari Tanzania hovyo kabisa na ndiyo maana Tunadharaulika saana na Majirani zetu hapo Kenya
Inafika Kipindi ndiyo maana hatuwaamini kabisa, ni kama Hawako na Hasira ya Kulikomboa Taifa hili Kiukweli. Eti nao CCM wanalalamika akiwemo bro, haya maajabu kabisa. Kwa hali hii Taifa haliweza kusogea mahali katika hali zote. Wenye Kutaka kutoa Mawazo huru, kila muda Wanakamatwa na Vibaraka wao!
Kwenye Uzi huu, nimewapa Wazo ni wao sasa Kulifanyia Kazi. Nimemwambia Maalim ana watu wengi Nyuma yake, yeye aoneshe Msimamo tu! Vinginevyo, tutakuwa Mafala milele, hii Serikali ipo kama ya akina Fulani vile kumbe ni Nchi ya Watanzania na si CCM, ACT na Watu kama Lipumba.
Mpaka aibu kweli kwa Utawala huu! Nape ndiyo kazikwa kabisa na Bao lake la Mkono, halafu wapuuzi wengine Wanajiona eti wako Salama! Zindukeni, Huwa hawana Marafiki watu anaowasema Lisu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.