Recent content by Nightmare prof

  1. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Mmh sikua mshiriki inategemea na mihemuko tu ila kwa week inaweza kua mara 2 au mara 3 but this routine was for 15years since 2007
  2. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Well said bro ila nimeelezea kwa uchache
  3. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Ilivoanza mwanzo hii hali ilinitokea lakin nikatumiaga program za forever living nikajiona kama nimepata nafuu ni karud ulingoni na nikawa naendelea na kazi lakn ilifika kipindi nikasema sihitaji tena kuzini so nilikaa miezi kama minne au 5 sijazini wala kupiga punyeto ila nikaja kupitiwa sijui...
  4. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Yan we acha kuna muda pesa ni useless kwa mwanaume kama uume haufanyi kazi unaweza kufa kwa stress
  5. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Yes nipo dar mkuu nitakuPM kwa mawasiliano tusaidiane ndugu
  6. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Unaweza nipa msaada io instant healing inqpatikan maeneo gani kwa hapa dar ama kuna wataalamu wanaoijua unafahamiana nao!?
  7. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Papara ya kutaka kupona ama Papara ipi mkuu
  8. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Ahsante kaka nashukuru kwa ushauri mwenyez Mungu akufanyie wepesi na akulipe sawa na ushauri wako
  9. N

    Msaada Hali mbaya najiona kwenda kupata fedheha kwenye Ndoa

    Habari za Alasir ndugu wa jamii forum kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu naombeni msaada wa mawazo ama kama kuna mtu anaweza tatua tatizo langu itakua vyema na mwenyezi Mungu amjalie in shaa Allah Mimi ni kijana wa miaka 29 binafsi nasumbuliwa na tatizo la kushindwa kusimamisha...
Back
Top Bottom