Nilipewa shinikizo kuomba ila Toka Mwanzo nilikuwa sipo interested kwani nilikuwa Nina miezi Mitatu Toka niache kazi yangu ya kwanza Kwa lengo la kujiajiri
Sure mkuu ni jambo jepesi mtu kujaji ila kazi za kudai mikopo ni pasua kichwa pande zote una lawama Kwa raia na Kwa management. Just imagine unaenda kumfilisi mtu aliyepigwa stroke
Bado una safari ndefu sana mkuu you don't know about my life na Mimi sijui maisha yako. my rise and fall are nothing to you so don't try kuforce kuwaza kulinganana na mtazamo wako we have different experience
Ngoja nikukumbushe mkuu ndio maana kwenye Sheria Kuna kitu kinaitwa termination of contact mtu kuacha kazi ni jambo la kawaida sana sababu Kuna reasons nyingi zinazomfanya mtu kuacha kazi.
So ukipewa connection sharti uifanye for the rest of your life sababu unaogopa kuumiza hisia za aliyekupa...
Umeonyesha jinsi Gani ulivyo mweupe kichwani.? Mtu kukusaidia ndio Kuna mpa mamlaka ya kucontrol fikra zako na maamuzi Yako?
Kwa vile naogopa kuharibu heshima ya Mzee ndio nifanye kazi ambayo I'm not interested je siku nikisababisha loss kutokana na kuchukia kazi nani Atakuwa accountable...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.