Habari?
Kama kuna mwenye kuhitaji gari la sherehe au kwa ajili kuwapeleka watoto na asubuhi wafanyakazi kuwatoa majumbani na kuwapeleka ofisini kama posta au Kariakoo.
Tuwasiliane kwa namba 0686 055680
Mwengine ananiletea pikipiki mbovu hata kwa kazi haifai zaid ni lawama nimembia haifai zaid tutakuwa tunakesha garage tu halafu huku unahitaji hesabu yako
Naomben ndgu zang mnisaidie mkataba was pikipiki ndgu zang halafu nilikuwa naomba pia mnisaidie kunifungia GPRS track ofisi zao zipo magomen usalama utaniongezea mwezi mmoja wa deni hilo LA gprs
Naitwa Nickson naishi dar es salaam maeneo ya tabata, Nina shida na pikipiki yaani niingie na mkataba na bosi atakaye ninunulia ntakuwa namlipa kwa wiki 70,000/= baada ya mwaka inakuwa yangu
Napatikana kwa namba 0714 064767
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.