Recent content by Nick Nick1071

  1. N

    Mungu anaweza kutenda dhambi?

    Ukimtafakari Mungu katika upeo wa vitabu vya dini utaona mambo ya ajabu sana kumhusu, kiufupi huyo Mungu wa hivyo vitabu hayupo, Muumba hana sifa hizi za kibinadamu, eti atende dhambi au ana wivu au achukie aisee ni kumfafanua vibaya kanakwamba nayey ni mtu fulani hivi.
Back
Top Bottom