Acha umbea we maskini hasidi, unajiropokea tu, hawalipi kodi we ndio mkusanyaji wa kodi? Wivu wa kimaskini unakusumbua, fanya kazi utakuja zikwa km mbwa koko. Maskini wana roho ya ajabu
We
We bwege ht angekufundisha malaika hutaelewa, we mkundu hufundishiki maana umezaliwa mpumbavu na utakufa ukiwa hivyo hivyo. Popote pale huwezi kumpinga kiongozi wako tena hadharani ukibaki salama, hakuna ujasiri hapo zaidi ya uwendawazimu. We inaonekana ni mburula flani limetokea porini...
Hao nyumbu ndio hatari balaa, nani anaweza kumpinga Lissu? Hv wanamjua Lissu kweli ni kwa kuwa ameharibu mapema wangemchoka mapema sana. Haya juzi tu SMACT wamemtimua uanachama mwanachama wao kumpinga Mpina ambaye wala si kiongozi wa chama intruder tu amekimbia tokea CCM. Hao wapumbavu waache...
Huyo na mburula km ww mtulize mikundu yenu hiyo. Huwezi kupinga hadharanu ndani ya chama chako, juzi tu ACT-Wazalendo wamemfukuza mwanachama wao kumpinga Mpina ambaye kimsingi amekosa vigezo kugombea urais kupitia ACT ni intruder tu. Huwezi kupingana na uamuzi ukabaki salama
Huyo lofa ni tapeli aliyevaa ngozi ya kondoo, ametapeli watu kutumia zile hadithi za kutunga za abunuwasi. Ndio maana wafuasi wa chadema wanaitwa nyumbu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.