Recent content by Niacom

  1. N

    GE2020 Faida ya Prof. Kitila kwa Ubungo, Dar

    Ila ngumu ngumu zaidi kwa Boniface kushinda..kwamaana watu ndio wamemchoka zaidi..
  2. N

    GE2020 Faida ya Prof. Kitila kwa Ubungo, Dar

    Ni sawa sawa kabisa kwamaana uwezo wako wa kufikiri unaishia level hiyo,ndio maana unashindwa kuelewa hoja nzito nzito..nenda kasome upya ujielimishe kisha rudi hapa utanikuta.
  3. N

    GE2020 Faida ya Prof. Kitila kwa Ubungo, Dar

    Naona umekimbilia huku kwenye quote za zamani,niletee na quote yake mpya akikataa midahalo basi.. ndio maana nakwambia acha kumezeshwa mezeshwa taarifa.tumia fikra na bongo yako kupambanua mambo.. Profesa ni msomi ambaye anatambua miko,na maadili ya kazi zake.na ndio sababu aliaminika,anaaminika...
  4. N

    GE2020 Faida ya Prof. Kitila kwa Ubungo, Dar

    Swali zuri ila nikuweke sawa ndugu.Hakua waziri bali katibu mkuu(mtendaji mkuu wa wizara) na kipindi chake upatikanaji wa maji katika miji mikubwa umeongezeka kutoka 48% mpaka 87% na vijijini kutoka 20 mpaka 51%. Amevunjiria mbali mamlaka zote za maji walizokua wakitumia janja janja kuibia...
  5. N

    GE2020 Faida ya Prof. Kitila kwa Ubungo, Dar

    Kwa MANTIKI hii unahitaji sana darasa la siasa za maendeleo,unahitaji darasa kufungua hizo fikra zako zilizolala baada ya kumezeshwa rubish tupu
  6. N

    GE2020 Faida ya Prof. Kitila kwa Ubungo, Dar

    Watanzania wa Sasa ni waelewa,wanatumia vyema akili zao,na wanajua vyema wanataka nini,kwa ajili ya maisha yao,ndugu zao na taifa lao.. Profesa Kitila Mkumbo anajulikana vyema ni mtu wa aina gani,wala usingepata tabu ya kuandika haya yote,kwamaana Wana ubungo watampitishia kwa nguvu moja.
  7. N

    GE2020 Faida ya Prof. Kitila kwa Ubungo, Dar

    Wakati nyie mnatumia hizo personal attacking kufanya propaganda za siasa,wananchi wengi siku hizi ni waelewa na wanaona ukweli..wanataka facts, information na data kamili sio utopolo kama huo unaotuambia kuhusu Profesa Kitila...
Back
Top Bottom