Watanzania wa Sasa ni waelewa,wanatumia vyema akili zao,na wanajua vyema wanataka nini,kwa ajili ya maisha yao,ndugu zao na taifa lao..
Profesa Kitila Mkumbo anajulikana vyema ni mtu wa aina gani,wala usingepata tabu ya kuandika haya yote,kwamaana Wana ubungo watampitishia kwa nguvu moja.