nimetoa taarifa tu kwa waliofanya interview na sijawahi hata kuomba kazi hiyo Bank.. Kama nimekosea sorry lkn lengo ni kuwapa pole waliokosa then songa mbele..!! Mwasheli na dogo janja someni vizuri co mnakurupuka tu alaaaaaaaa.....!!
Kwa wale waliofanya interview written cku ya j'moc then wakaitwa kwenye Oral j'4 k'koo jamaa wameanza kufanya placement tayar ktk nafac za Client officer na Cashier na leo saa nane wameitwa ofisin na barua za Serikali za mitaa... Kama hujaitwa POLE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.