Recent content by ngway

  1. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    After 6 months, leo ndio unarespond?😀 Sijawahi badili ID, ww utakua una wazimu… Nibadili ID kisa mpuuzi mmoja anayeitwa “mokiti”…hahaha Unachekesha 🤣 ww utakua umenimiss tu 🤪
  2. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Hayo maneno matatu nimeyanyambua 👆 Where is “is”?
  3. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Ndo ukome ku-copy & paste kwa kitu ambacho huwezi kukitetea. ww si ndio umetoa huko? Nionyeshe hilo neno “is” tu.. Hujui lugha yake ya asili halafu wajikuta much know… TULIZA MSHONO 😀.
  4. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Wapi nimebadili andiko, umetoa tafsiri ya kiingereza. Mi nimekuomba tu kiaarabu chake unionyeshe hiyo “is”. Unaanza kuruka 😀
  5. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Hahaha! hiyo ndio shida ya copy and paste na kujifanya mjuaji 😀📌📌
  6. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Nime edit andiko lipi? Nitajie neno la kiarabu lilotumika kwenye hiyo hadith kumaanisha “is” kwenye hiyo hadith ulotoa 🤔
  7. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Nikikwambia uniletee matini yake kwa lugha ya kiarabu halafu unionyeshe hiyo “is” utaweza? Kitu ambacho hujui ni kwamba, mwingine angeweza fasiri na kuweka neno “was” badala ya “is” kwenye hiyo hiyo hadith. Na kuna hadithi nyingi tu wamefasiri kwa kutumia “was”. Nikisema niziweke hapa tutajaza...
  8. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Basi usiweke dhana, ukadhani ni kama kiti chako unachokalia ghetto . Quran 2:255-“…………..His throne (Kursi) extends over the heavens and the earth and He feels no fatigue in guarding and preserving them. And He is the most High, the Most Great “
  9. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Hebu tupe sifa ya hicho kiti cha enzi (arshi) cha Allah, kinafananaje? kikoje? kimetengenezwa kwa material gan? Kina rangi gani? Kipo wapi?
  10. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Hahaha! naona sasa sindano imepenya masikioni 📌📌 Ushakubali kuwa ni past tense tayari ushamaliza mjadala.😀 Nishakupa aya kuwa, kiti cha enzi hivi sasa kinabebwa na malaika. Hapo mjadala tayari ushaisha.🙌 SASA WEWE NDIO ULITAKIWA KULETA AYA KUWA BADO KIPO JUU YA MAJI NA SIO KULAZIMISHA TU BILA...
  11. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Leta ushahidi wa hichi unachosema 👆 Ninachojua mimi ni hiki👇 Quran 69:17-“Na Malaika watakuwa pembezoni mwa mbingu na wanane juu ya hawa watakuwa wamebeba kiti cha enzi cha Mola wako Mlezi” Hapo malaika wanabeba kiti cha enzi 👆 HAYA WEWE LETA USHAHIDI WA HAYO MANENO YAKO KUWA ALLAH NDIO...
  12. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Mbona unarudiarudia na kulazimishia hadithi inayoonyesha hicho unachodai ni kitu kilichopita-past tense. Hayo maneno yote niliyo-bold kwenye hiyo hadithi ulotoa yanaonyesha hicho unachodai ni past tense. Nenda kwanza kajifunze nyakati (tenses). Hujui tofauti kati ya “past tense” and “present...
  13. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Duuh, kumbe najadiliana na punguani a.k.a chizi.😏 Wapi niliposema Allah anabebwa??? Aya niliyotoa; Quran 40:7 Inaonyesha, arshi ndio inayobebwa na malaika na wala sio Allah anabebwa. Halafu, mm nimekupa ushahidi (Quran 40:7) kuwa arshi ya Allah hivi sasa inabebwa na malaika, tukio ambalo ni...
  14. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Mbona unaweweseka!😀 Sijasema before creation, acha kukata maneno yangu, malizia sentensi yote. Nimesema, “before creation of the heavens and the earth” Usikate sentesi yangu ku-justify uongo wako
  15. N

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Aya ulotoa, inasema, “ wakaana arshihu a’lal maai”…Na arshi yake ilikua juu ya maji”. Hii inaonyesha ni “past tense “. By that time, before the creation of the heaven & earth and everything btn them kweli ilikua juu ya maji. Sasa leta aya inayosema, arshi ya Allah bado mpaka sasa ipo juu ya maji...
Back
Top Bottom