Recent content by NgwaleR

  1. N

    Midfielder

    IPOTAMATIKA “Mbona Mido na Suma siwaoni? Na Godi, Fure nao wako wapi?” II “Kocha labda walijua leo hauji ndo maana wakaamua kula kobisi” Maestro alitoa jibu ambalo halikumridhisha kocha wake. “Sasa madogo mnachofanya ni mambo kiduwanzi, yaani haiwezekani siku zibaki chache tuanze boli na mnajua...
  2. N

    Midfielder

    I Karatasi ya thamani ni pesa vyeti ni uchafu chochote utakacho pesa kwanza Silali kitandani nakesha kuziseti chafu tatu popote niendapo pesa kwanza “Babu hilo goma linanitia stimu yaani siku mimi nikija kubutua kudadekilazima nipitena wema ” Suma alikuwa anatoa maoni yake baada ya kuonekana...
Back
Top Bottom