Mahakama gani imewahukumu kuwa ni wezi? hii ya JF? Tuendelee kupoteza muda tu humu kwa kuchit chat. :msela:
Sikuhizi kila mtu, ni polisi na mahakama yeye mwenyewe.
Kiuzi kingine chenye kibwagizo cha escrow! kwi kwi kwi kwi kwi! mwingine achape kingine tafadhari. haibadirishi ukweli kuwa fedha za escrow ni mali ya IPTL.
Hujui historia ya IPTL! Kaa kimya, Huwezi kuongelea mwanzo wa IPTL bila kuitaja south-south commission. Zuzu peke yako siyo sisi watanzania. Inawahusu sababu ni malipo yaliyotoka kwao wakalipwa IPTL kutokana na umeme waliotumia.
Siasa za Tanzania sasa hatari
Na Mwandishi Wetu
SIASA za Tanzania sasa zimegeuzwa mchezo mchafu, Taifa Imara limebaini.
Hilo limejidhihirisha baada ya hivi karibuni siasa za kistaarabu kuwekwa kando na kuingizwa zile za fitina na kuchafuana miongoni mwa wanasiasa wanaowania madaraka ya urais...
Umoja wa Ulaya warejea ukoloni mamboleo
¬ Wasimamisha misaada ya maendeleo
¬ Wasaliti washangilia
¬ Serikali yatakiwa kuyashitaki makampuni na mabenki
UMOJA wa Ulaya kwa pamoja na baadhi ya nchi wanachama wake moja moja zimeamua kusitisha au kusimamisha kwa muda utoaji misaada kwa Tanzania kwa...
Haya yatabaki kuwa ni mawazo yako lakini hakuna ufisadi kwenye escrow account, hatuwezi kuwa na mawazo sawa! Matatizo ya watanzania Mil 45 hayawezi kuisha kwa kuwapokonya IPTL haki yao, na hayawezi kuisha kabisa kwa kuligeuza hili jukwaa kituo cha polisi na mahakama ya kuwaita watu wezi. Subiri...
Akizungumza na MTANZANIA jana, Zitto alisema hadi sasa hatua za uchunguzi kuhusu sakata hilo linakaribia kukamilika na ripoti inatarajiwa kuwasilishwa bungeni Novemba 4, mwaka huu.
"Hadi sasa suala hili linakwenda vizuri na ninachowaomba Watanzania wawe na subira kwani baada ya ripoti ya...
we bado upo wenzako washapoteana huko wanaanza kuandaa hoja kuwa ripoti imechakachuliwa. Mwizi Kafulila na Zitto wamechukua hela za MKONO wameshindwa kudeliver.
Ndugai aliitaka PAC kuifanyia uchambuzi na kutoa mapendekezo.
Hata hivyo, aliitaka ihakikishe inajikita katika kutumia ushauri uliotolewa na CAG na Takukuru katika kutoa mapendekezo kwa sababu waliwahoji wahusika wote."Baada ya kukamilisha kazi, taarifa irudi kwangu ili kujiridhisha kabla ya...
Upo kumbe team Kafulila ( tumbiri )? ushapata lunch lakini au unakesha tu humu kumpigania tumbiri! Wewe umeanza lini mwenzangu kujitambua maana minajua ulishajitoa ufahamu siku nyingi sana. Tuendelee kubishana au kutukanana......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.