Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Deutschwelle ana Diploma ya Ualimu Butimba.Akaanzia Redio Rwanda, baadae akavutwa DW kwa umahiri wa utangazaji na maswali chokonozi.Sifa hizo ndo zimemfanya awe Mkuu wa kitengo!
Cha ziada ni kuwa huwa anaalikwa kwenda kufundisha shule za journalism ngazi ya...
Idd Amin Dada kazi anayo,huku Slow kampiga barua, mahakamani mabalozi macho na masikio hayapitwi na neno la kupeleka kwa wachangia bakuli.Hivi hawezi kumwamrisha Manywele awafanyie yale walifanyiwa Mwangi na Agatha? Au awatimue kama Martha Karua? Au niache niache ujinga🤣
Una undugu na Sufiani au mlirogwa na mchawi yuleyul? Kwamba umetokwa machozi ukiwa wapi,mbele ya watoto na mkeo....unalilia cabinet ya kina Mchengerwa.Milembe case!
Andiko la Polepole halijazungumzia ukanda,jinsia na ukabila.Amezungumzia ukosefu wa haki,amani na uongozi thabiti.Hayo ya kwako umeyatoa wapi?
Ad hominem fallacy hutumika kama defensive mechanism baada ya kukosa au kukwepa majibu ya hoja.Katika andiko lako unamshambulia mleta hoja badala ya...
Mayalla unakiri Kuna uhuni ndani ya chama chenu,Polepole ameukabiri kwa kukosoa kwa lugha ngumu na hata kujiondoa kwenye genge la wahuni.Wewe binafsi umeukabili kwa kiwango kipi huo uhuni?
Wakati huo unaandika habari za Lissu huyohuyo.Ng'ombe wa Samia huwa hawajui tofauti ya safari ya malishoni na machinjioni.Wao Bora mswagaji yuko nyuma yao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.