Recent content by NGUCHILO

  1. NGUCHILO

    Ati nini? Tume huru; asubuhi na mapema!

    Hii mambo ya danganya toto ndiyo imefanya wanasiasa uchwara wafanye siasa kama biashara...#Tume yetu ipo sawa.
  2. NGUCHILO

    Ati nini? Tume huru; asubuhi na mapema!

    Mkuu hayo mamlaka yatakua ya ajabu sana yaani yakupe malaka ya kuteua yakunyime kutengua??? Angalia Ghana kwa mfano, 29ThJune, 2018; Rais wa Ghana aliwatimua viongozi watatu waandamizi wa tume huru (refer to...
  3. NGUCHILO

    Ati nini? Tume huru; asubuhi na mapema!

    Skia! Enyi mlio jirani nae, mwambieni asiogope, mstueni janja yao wanajua hawana chao. Mwambieni ukweli kwamba the so called “Tume Huru (TH)” hiyo kwake ni mbachao, amkumbatie aende nae awaachie msala wao. Wanatambua hawawezi na hawajui walitakalo, wameishiwa hadi nauli na chomboni...
Back
Top Bottom