Ndani ya CCM kuna mchakato wa kidemokrasia.Sasa maswali haya unatakiwa kumuuliza huyo anayeunda makundi ya uchaguzi na kuwagawa wananchi kitarafa je chama chake kimempitisha ?Mhe. Selasini hajamaliza muda wake bado lakini huu usumbufu anaoletewa una umuhimu gani?
Uadilifu ni jambo la msingi sana.Na huyo kamanda wa Idara ya Upelelezi Mkoa nadhani alifunga ndoa mwaka juzi.Watu wa Rombo ni wakatoliki wasiopenda kuongozwa na watu wasiokua na maadili maana suala la kusimamia uadilifu hasa halmashauri iliyojaa ubadhirifu kama Rombo inahitaji mtu asiye na doa
Ndugu yangu,
Hakuna haja ya kuitana majina mabaya kiasi hiki.Naomba tuvumiliane na tujenge hoja.Naomba radhi kwa usumbufu wowote kwani Rombo inahitaji mchango wa kila mmoja wetu
Inahitaji taaluma za kisheria kutoa ufafanuzi na kuelimisha jamii juu ya katiba pendekezwa.Katiba hii pendekezwa ina mambo ambayo yana maslahi kwa nchi.Ni vyema tukaacha kufuata ushabiki badala yake tukaangalia namna na muda muafaka wa kuitisha kura ya maoni lakini sio maudhui ya katiba hii...
Ni wapi alikogawa hivyo vitenge kwa ajili ya ubunge?Ben anavyotumia muungano wa Bodaboda kule Tarakea na sasa huko Mengwe na kuitwa kwenye mkutano wao akiambatana na wapambe na kuchangia anafanya hivyo kwa ajili ya ubunge?
Ana haki ya kulitaka lakini sio kwa hizi vurugu anazofanya.Watu wa Rombo wanapenda siasa za upole na si jinsi anavyofanya na kutumia hadi waandishi wa habari kumchafua Mwingine
sirluta,
Uadilifu wake unatia shaka hasa uhusiano wake na Askari wa Kike kaimu Kamanda wa Upelelezi Mkoa Janneth Mongi na pia dada Mmoja Wa TRA boda ya Tarakea. Sia aoe kwanza ?
Hakuna kanuni zilizokiukwa kwa sababu Sitta alifuata kanuni zile zile walizotengeneza akina Lissu na mmanda.Kama kuna mamkosa yatakua ni ya Sitta Mwenyewe na sio Evod ambaye alishirikiana kwa karibu sana na Lissu na Jussa usiku na mchana bila kujali tofauti za vyama vyao.Huu ndio uadilifu...
Ndugu Tamatheo,
Ni makosa makubwa kuchanganya ufisadi wa watu wengine na uadilifu wa mtu na taasisi.Rombo inahitaji mtu wa kuunganisha watu kuliko anayetaka kugawa watu kama anavyofanya Ben Saanane na watu wake na hao wazee wanaosema safari hii ni zamu ya Mashati.Uchapakazi na uadilifu wa mtu...
Nduka nashukuru sana.Tumeshaona dalili za uchaguzi wa huku kutawaliwa na kila aina ya fujo.Juzi team yake walikaa Tarakea na kuanza kuunda kikundi cha fujo na hata watu wanaomchangia kwenye hizi kampeni ni watu waliopata fedha kwa njia ya biashara za magendo za mipakani.Kuna mambo mengi tu...
Ndugu Malata,
Nasikitika sana kwa jinsi unavyotumia lugha ya kejeli baadala ya kujenga hoja.Ndivyo wanavyofanya watu kama akina Ben Saanane huku Rombo na siasa zao za fujo fujo badala ya kushindanisha sera.Sijui anataka awe mgombea pekee ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.