Yah huo wa juu ni mbegu moja sisi tunaita mwenda mbio ni mbegu nzuri sana na mchele wake hua haukatiki ambao tunafanya sh 2000 kwa kilo
na mbegu ya chini sisi uwa tunaita zambie ni mbegu nzuri sana mchele wake si mnene kwa hii ya kisasa ni mchele mfupi ulionyooka vizuri sana ambao ni sh 1800
kwa wakazi wa Dar es Salaam jipatie mchele safi na Super kutoka mbeya.
Mchele wetu ni zile mbegu za Asili na si hizi za kisasa yaan ni Mchele mzuri haswa na Maharage ya njano pia yanapatikana kwa bei Tsh 2600 kwa kilo
Tunapatikana Ilala Bungoni, Temeke kwa azizi Ally... Bei zetu ni 2000 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.