Mbowe ni mwenyekiti wa chadema lakini alikua akipokea maelekezo kwa Lema kua waondoe TBC na yeye akafuata sasa uenyekiti wa mbowe uko wapi?? Kumbe anafanya maamuzi ambayo sio yake?? Kweli chadema hawana viongozi wenye Highque kubwa
Tukio la chadema kuwafukuza TBC kwenye mkutano wao wakiwa wanarusha matangazo yao live ni dhahiri kua walificha aibu ya kukosa wafuasi kwenye mikutano yao na kuwadanganya watanzania kua wanakubalika kumbe ukweli wanaujua wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.