Recent content by ngonyo

  1. N

    Barua ya wazi ya Joseph Mungai kwa tume ya Elimu

    Tulihitaji mtu aje kurekebisha alichoharibu mungai na kuboresha alichofanya vizuri, tatizo waliomfuata ndo wameharibu kabisa, kwa hiyo kwa takwimu hizo za ufaulu Mungai ataonekana msafi, na katika taarifa yake ni kweli kuna vitu vingeweza kutumiwa kama mwongozo na vingine vingefanyiwa...
  2. N

    Bashe anusurika kutekwa

    Hii Tz sasa inaendelea kuwa nchi yenye kuleta hofu nyingi juu ya usalama wa raia. Maana kwa sasa kila raia ana taharuki kubwa na usalama wa maisha yake. Nchi imejaa rushwa, watu masikini, udini, ukabila na sasa linaongezeka ugaidi. Maana hata ukiripoti polisi hakuna reaction yoyote hasa kwa...
  3. N

    Maafisa waandamizi wa polisi wasimamishwa kazi NA KUSHITAKIWA

    Funguka ili tuchangie kwa mapana zaid, tujuze nini kimetokea ktk timua timua hiyo!
  4. N

    Lissu: Kwa hali jinsi ilivyo, Dar ndio itakayochelewesha ukombozi wa nchi hii

    Ni waz kuwa mabadiliko yanaanzia mjini, pengine hawajamasishwa vyakutosha ili kujua dhana nzima ya harakati za ukombozi.
Back
Top Bottom