Sina uhakika kama wamefulia, lakini pia kupiga mziki CCM ni mtaji. Mtu anayekwenda CCM hata kama amefulia ujue atasimama mbona wote wenye uwezo wako kule. Unashangaa hata Sabodo kawapa Chadema 100mil lakini uliza kawapa CCM ngapi utaona hiyo ni kijiko cha chai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.