Recent content by Ngishi

  1. N

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Yaani Una give up kizembe hivyo?Hama mtaa nenda mbali kabisa na hapo unapoishi na biashara zako hamisha kabisa,pili utakakohamia ishi maisha Yako wewe kama wewe,cheka na watu lakini usiwape nafasi ya kukujua kiundani kuhusu maisha Yako.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mke kupenda fedha kama Delila hubomoa ndoa yake

    Tafuta pesa acha kuimba ngonjera mkuu,pesa kila mtu anaenda awe ke au me sema ndio hivyo Kuna muda tunapambana mambo yanagoma inabidi tukubaliana na Hali.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mabasi mengi yanayopata ajali 'VTC' zimechezewa hazifanyi kazi

    Lakini pia nje na kuchezewa kwa vidhibiti mwendo pia madereva hawapumziki anatoka Dar -mbeya Leo jioni ,mbeya anafika asubuhi Kesho ,Kesho hiyo hiyo au jioni anageuka na gari Huyu mtu hajapumzika wala nini safari ya masaa 16/17 na hapo wanatudanganya kwa kisingizio cha madereva tuko wawili ili...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mabasi mengi yanayopata ajali 'VTC' zimechezewa hazifanyi kazi

    Lakini pia nje na kuchezewa kwa vidhibiti mwendo pia madereva hawapumziki anatoka Dar -mbeya Leo jioni ,mbeya anafika asubuhi Kesho ,Kesho hiyo hiyo au jioni anageuka na gari Huyu mtu hajapumzika wala nini safari ya masaa 16/17 na hapo wanatudanganya kwa kisingizio cha madereva tuko wawili ili...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Unafanyaje kukusanya kodi nyumba iliyo mbali? Nishachoka

    Hao wamekuzoea,kuwa trict,wapigie simu kila Mmoja kwa wakati wake waambie waachie nyumba ndani ya siku tatu kwa sababu wameshindwa kuzingatia masharti,Hata kama Kuna anayetaka kulipia mwambie kabisa Kodi sihitaji nachotaka ni nyumba yangu kapange sehemu nyingine itakayokufaa ,waambie kabisa...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Lakini pia pamoja na hiyo changamoto wafanya biashara walio wengi wakiwemo Wa daladala hawana utaratibu Wa angalau kutunza chenji Kiasi kwa ajili ya kuanzia asubuhi siku inayofuata,akipata Leo anahakikisha chote kinatumika au kama ni akiba anabakiza nyumbani na sio kutembea na chenji za...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Lakini pia pamoja na hiyo changamoto wafanya biashara walio wengi wakiwemo Wa daladala hawana utaratibu Wa angalau kutunza chenji Kiasi kwa ajili ya kuanzia asubuhi siku inayofuata,akipata Leo anahakikisha chote kinatumika au kama ni akiba anabakiza nyumbani na sio kutembea na chenji za...
  8. N

    JamiiForums Tanzania KERO Goba Mpakani Mtaa wa Badilika hatuna maji mwaka mzima, DAWASA wanarekebisha lakini hakuna kitu

    Poleni Sana kwa kero hiyo kiongozi,inatia Sana hasira umeghalimia maji halafu tangu uwekewe hiyo meter ulitumia unit Moja Tu ya maji.Wahusika tafakari na chukua hatua
  9. N

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Tatizo lipo kwako sio kwa mkeo.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kiukweli kama mtumishi Boniface Mwamposa anafanya utumishi wa kweli wa Mungu. Mungu ambariki sana

    Sikatai ila kuna muda najiuliza inakuwaje mtu umepewa karama bure halafu unauza kwa mafungu?Una karama ya uponyaji unashindwa Nini mara Moja Moja kwenda muhimbili,ocean road kuombea roho ya uponyaji kwa wagonjwa waliokataa tamaa na tupate shuhuda Kutoka kwao?Tunaangamia kwa kukosa maarifa.
  11. N

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI kuna haya mambo mnafumbia macho kwenye elimu ila serikali inadhalilika, toeni tamko

    Mtoa mada za kuambiwa Changanya na za kwako.
  12. N

    JamiiForums Tanzania DAWASA: Tumefungulia maji Kimara, Ubungo, Mwenge, Masaki na Muhimbili

    Mmefungulia maji kwenye mafungu au ,nimetoka Tegeta A kwa madawa maji yanatoka,ukienda kwa bedui,kwenda njia ya kwa chades,mnalani na mabonde yake hakuna Hata tone la maji,
  13. N

    JamiiForums Tanzania KERO Dawasco Mbezi Kunduchi Bahari Beach hamna maji

    Poleni jamani ,yaani Haya mambo huwa yanakera Sana,
  14. N

    JamiiForums Tanzania Nimeletewa bill ya maji isiyo sahihi. Naomba msaada kwa mwenye Uelewa

    Aise hili Jambo kumbe tuko wengi,
  15. N

    JamiiForums Tanzania Watu weusi tunashindwaje kuandaa wealth generation kama Rockefeller Family , ili watoto wetu wasiishie kuwa vibarua au bodaboda!

    Mi naona hapo inategemea na aina ya familia pamoja na watu ,Kuna ndugu au watu ambao Hata uwabebe na mbeleko hawabebeki ,utawapa mitaji kila mara ,utatengeneza vitega uchumi na kuwaweka wavisikamie watatakatisha vyote kwenye bangi na pombe,
Back
Top Bottom