Recent content by nginjanginja

  1. N

    JamiiForums Tanzania Uongozi UDSM wasema hapana kwa Zitto Kuunguruma

    additionally, mukandalism inapingana hata na katiba ya nchi ambayo inatoa na kuheshimu uhuru wa mtu kuongea na kueleza fikira zake. kina mukandala wamezoea kupingana na katiba ya nchi yetu hata pale inapokuja issue ya migomo. kugoma nayo ni haki ya kikatiba, sijui watu hawa wanazuia kwa msingi gani.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Uongozi UDSM wasema hapana kwa Zitto Kuunguruma

    sijui ni vigezo gani hutumiwa pale mlimani katika kuwapata maprofessors. maana tuonapo watu kama kina mukandala wenye titles za uprofessor halafu wanasahau ethics za academic works and places pamoja na dhana nzima ya university huwa si tu wanajiabisha wao, baya zaidi ni kuwa wanavipa vyuo vyetu...
Back
Top Bottom