Narudia tena, sijaongelea habari ya online business, nmeonesha watu kutengeneza WEBSITE bure, hivi unaelewa maana ya ONLINE BUSINESS kweli??
Na pia nani kakuambia haiwezekani kuanzisha Business Online for Free ... Mimi nlianza Biashara yangu Online for Free kwa kuandika Makala kwenye Jamii...
1. Website yangu sio ya bure, kila kitu ni cha kulipia ...
2. Sijaelewa unamaana gani unaposema "online business hazitengenezwi hivyo", mimi nmeelekeza watu kutengeneza WEBSITE bure, incase mtu hana fedha kabisa, hakuna sehemu hata moja nlosema habari ya online business ...
3. Inaonekana...
Inawezekana unatamani biashara au kampuni yako kuwa na website mtandaoni, lakini huna fedha za kutosha kulipia gharama za kutengeneza website. Hivyo basi kuna njia mbadala ambayo binafsi naiona ina uafadhali katika kutengeneza website Bure.
Maana, kuna njia nyingi lakini, katika hizo nyingi zao...
Kwa technology ya sasa. huitaji kujua languages, ili kujenga website nzuri ... japokuwa kama unataka kufanya vitu more advanced ni vema ukawa na knowledge kidogo ya hizo language ili hata kama ukitaka kucopy na kupaste code kwa ajili ya kuiongezea kwenye web yako basi uwe unajua unachofanya.
Kwa kweli, nkisema nielezee kila kitu kwa undani zaidi, itabidi niandike kitabu kabisa maana , vitu ni vingi mno ... unachohitaji ni kujifunza mwenyewe zaidi, mimi nmejaribu kutoa mwangaza tu. Lakini ntakujibu kwa ufupi ...
Kwenye Figma Kuna Option ya ku-export files kama icon na images...
Inawezekana kinachoongelewa hukifahamu kabisa, soma vizuri utaelewa. Ila somo linawahusu Website Designers wanaotamani kuuza Websites kwa Gharama za juu zaidi.
Inaonekana hujasoma vizuri hiyo nakala au hujaelewa, mimi nimeonesha hatua za kutengeneza website yenye thamani kubwa, nia ni kusaidia watu wanaoshughulika na masuala ya kufanya web design, kujua namna ambavyo wanaweza kutengeneza website ambazo wanaweza kumchaji mteja kwa gharama ya juu zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.