Recent content by Ngalingenja

  1. N

    JamiiForums Tanzania KERO Nyumba yangu yenye vyumba vitatu Mvomero Kijijini inakatwa kodi ya TANESCO Sh 7,500

    Mimi ni mkazi wa Mvomero, na ninapinga utaratibu wa kodi ya jengo inayokatwa kupitia TANESCO. Nyumba yangu yenye vyumba vitatu inakatwa Sh 7,500, kiasi ambacho ni sawa na kinachotozwa kwa nyumba ya ghorofa. Nimejaribu kupata ufafanuzi kuhusu tofauti hii, lakini Meneja wa TANESCO ametuambia...
Back
Top Bottom