Kwa Ronja niliyonayo uhamiaji ni mwezi wa 12 kabla sikukuu hazijaanza watakua washatoa tangazo, Usaili hadi kufika mwezi wa pili utakua ushakamilika watu wanaingia MKINGA kupiga kozi mwaka mmoja Kama kawaida WAKUBWA. bila kuwavunjia heshima habari zenu 👋
Iko ivi kwa mujibu wa mbanga yangu. Now ipo jamhuri ya afrika ya kati kaondoka tarehe 16-11-2024 ni braza angu kabisa wa Damu ni afisa wa jeshi la ulinzi. Nanukuu "dogo me tutaendelea kuwasiliana lakini ishu ipo bogi lenu litakua oljoro mnachanganywa na wasomi ila hamtakua wengi nimeakikishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.