Recent content by Ngadu07

  1. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Watakua wakujitolea😎
  2. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    😄😄 Aya mnaitwa ofisini
  3. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Wakubwa mshindwe wenyewe mizigo Iyo apo. NB kwanilivyosikia huku kunaitajika mbanga si mchezo TPDf inaweza ikasubiri kubababake.
  4. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Saivi hatutaki Ronja za jwtz. Tunataka Ronja za magereza 🏃🏃🏃
  5. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hapo Kuna madogo nilipiganao kozi kibiti mwingine nilimbeba mwenyewe kwenye mabega. Victor,mosses,nellis. Dogo mwengin Yupo Russia. Life is not fair
  6. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Yes hata ikitokea tofauti sio ya margin kubwa might be one month
  7. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kwa Ronja niliyonayo uhamiaji ni mwezi wa 12 kabla sikukuu hazijaanza watakua washatoa tangazo, Usaili hadi kufika mwezi wa pili utakua ushakamilika watu wanaingia MKINGA kupiga kozi mwaka mmoja Kama kawaida WAKUBWA. bila kuwavunjia heshima habari zenu 👋
  8. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    W A K U B W A W A Z E E WA L O N J A 💪 vamos 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 tupo pamoja sana
  9. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Labda mbanga inidanganye lakini icho ndicho ninachokijua wakubwa
  10. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Iko ivi kwa mujibu wa mbanga yangu. Now ipo jamhuri ya afrika ya kati kaondoka tarehe 16-11-2024 ni braza angu kabisa wa Damu ni afisa wa jeshi la ulinzi. Nanukuu "dogo me tutaendelea kuwasiliana lakini ishu ipo bogi lenu litakua oljoro mnachanganywa na wasomi ila hamtakua wengi nimeakikishiwa...
  11. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Vijana kesho nawaletea Ronja ya uhakika. Tutajua tuendelee kusubili au tulime tu. Ni 100%
  12. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Niliitwa kwenye usaili mbona
  13. Ngadu07

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Vijana kmy. Naona Ronja zimeisha Sasa
Back
Top Bottom