duh r.i.p Dr wa ukweli, ila sema hii hari ingelikuwa imethibitiwa tangu kwa akina ulimboka haya matukio yangekoma, lakini leo sirikali inaleta ngojela tu. Sasa nadhani kuna umuhimu wa kuwa na ulinzi binafsi!
Tuhuma zote ni za kweli. Zitto ni msaliti. Angekuwa na busara alipoitiwa kipindi kile na akina ighodu angewaeleza viongozi wenzanke wa cdm. Na hizi habari ni za siku nyingi sana, maana kuna kipindi akanunua (alitudanganya eti mkopo) vogue, mara hammer, halafu eti akajifanya eti aliyakataa. Huyu...
Hakuna cha jela. Hizi habari ni za kweli, Zito rushwa akchukua na juhudi zake kwisha kwa sababu sasa kila kitu kiko wazi. Na JF ni wajinga, mi naona afadhali sasa na fb maana habari watu wameziona na kusoma juu ya usaliti wa huyu kijana. Huyo maa akashitaki tu, ila zito ni mnafiki!
Wala siyo ujinga. Ilikuwa ni vigumu watu kama wasira kujitokeza hadharani na kusema CDM itakufa ndani ya miaka miwili kama wasingekuwa na mtu wao ndani (Zitto).
Ni muhimu kuijadili kwani kumbuka NCCR ilianguka vipi. Watu ndumila kuwili kama Zitto waliangamiza NCCR. Sasa hatutaki itokee tena ktk Tanzania yetu. Zitto naamini alizidiwa kete labda alitishiwa kuuawa, lakini kwa nini asijitokeze akatubu? Rushwa kala, na kutaka kuiyumbisha chadema alishafanya...
Juliana, sikujui wala hunijui, ila ningependa kukushauri. Rudi CDM utubu watakupokea, CCM haina political future, zaidi watakutumia kwa safu uliyonayo sasa, na ikija safu nyingine watakutupa kama takataka. CDM ni chama chenye changamoto, ni chama kinachotarajiwa kuchukua dola, unanafasi nzuri...
Ninyi ndiyo wajinga. Hamtokaa kuuaminisha uma wa watanzania kuwa CDM ni chama cha kigaidi. CCM+Mwigulu n.k. ni wauaji wakubwa na mnastahili kufungwa au kunyongwa kabisa. Mmeua watu wangapi? Wewe ni miongoni mwa wachache wanalipwa labda na kudunguliwa ili uje uitetee CCM, utakoma, just wait 2015...
Inawezekana kweli. Mauaji ya CCM polisi usikute anayeyasimamia ni mgomea mtarajiwa wa CCM (kama Membe n.k.) anakuwa na mikakati ya kuhakikisha anawamaliza nguvu CDM. Kumbukeni JK alisema wagombea mjipange sasa wajipangeje??
Ameyanogea hayo akiwa na neno CCM ndani ya mdomo wake. Kwani siku CDM wanaaga miili ya marehemu Arusha walikuwa wamefanya fujo? Walivyomuua Mwangosi alikuwa anawatishia uhai? Tena kwa Mwangosi Polisi kibao walimzunguka na kumuua kwa makusudi. Na Polisi CCM walipolipua bomu na kushambuliaa raia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.