Tunashukuru kwa kutudharau mwakitobile hongera ww unayekaa ofisini na kupigwa kiyoyozi mda wote kila mtu anapata pale Mungu alipompangia na ndio maana department ya markering ilikuwepo na it is heart of any company na bila kuwepo hii hizo hela unazotegemea kuhesabu unafikiri zingetoka wapi
Habarini humu, kuna rafiki yangu alifanya interview na erolink ya nbc customer care alianza na written na akamalizia na oral alifanya mwezi wa kumi na mbili mwanzoni zen wakamwambia watampigia simu ni mwezi na zaidi umeipata kimya hadi leo je ndio basi imetoka hiyo au? anaulizia kama watu...
habari wana jf samahani mwenyewe kujua kiwango cha mshahara wa ngazi hii ya PHTSS 4 mpaka 7 ni kiasi gani naomba kujulishwa mwenye kuelewa hicho kiwango
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.