Ukihitaji ya kwenye mpunga, tunakuagizia kiwandani dodoma cement moja kwa moja ila kwa hapa tunayo ya mazao mengine ndo maana nimekwambia ukihitaji inapatikana pia.
Hauna haja ya kutumia pumba za mpunga tena
Hii kwenye mashamba unatumia mifuko 10 kwa hekali 1 ila ni lazma utumie mbolea za chumvichumvi kama.kawaida na matokeo yake ni ndani ya msimu huohuo
Namba ya biashara ni 0677766250 kwa maelekezo zaidi
Hii inaitwa chokaa mazao inatumika kurutubisha udongo na kuongeza uzalishaji.
-mashamba mengi yameathiriwa na tindikali(acidic) inapelekea kutumia gharama nyingi kuhudumia shamba lakin mavuno machache.
-inatumika unavoandaa shamba au unavolima shamba lako kwaajili ya kupanda
-ukitumia chokaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.