Tunaendele........
Basi siku zikapita akanitafuta tukaongea nikamuuliza siku ile pale alikuwa nafanya nini akaniambia eti kuna mgahawa alitoka kula chakula ndio alikuwa anamlipa yule mwanamke. Ni kweli pale pembeni yake kuna mgahawa. Nikaseama sawa pia akaja na sera sasa za kutaka kunioa. Yani...
Habari zenu wakuu.
Moja kwa moja kwenye hoja. Nilikutana na huyu mwamba kama mwaka mmoja uliopita. Akanimwagia sera zake nikazikubali. Mimi naishi kwetu nyumbani pamoja na mama. Huyu mwamba ni mtu mzima kama miaka 48.
Sasa toka tulivyokutana akaniambai yeye alifiwa na mkewe kama miaka 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.