Ni kweli nakosa uhuru nakuwa hata nikiwaza kuwa busy sana naogopa huyu atamchukua kabisa mume wangu, pia hata kusafiri mbali naogopa pia kuwaacha hapa wenyewe Yani najiskia vibaya
Kuna siku niliondoka kusalimia kwetu siku kama nne nilivorudi nilikuta wifi kafua nguo zote za mume wangu Hadi boxer zake kazianika kwenye kamba nilivomuuliza mwanaume akasema nilitaka afue nani kati dada yake yupo
Baba wa mtoto wake hatoi huduma yoyote amekuwa kama kawatelekeza, na baba wa huyu wifi yangu pia alishamtelekezaga tangu anazaliwa ndomaana mama yake alienda kuolewa na mtu mwingine ambaye ni baba mzazi wa mume wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.