Recent content by Nevergive up

  1. N

    Je, nianzie wapi kufikia lengo langu?

    Kama unaanza kabisa na mtajì ni mdogo unalipia kama wajasiliamali wengine mkuu
  2. N

    Je, nianzie wapi kufikia lengo langu?

    Mkuu vibali pesa lazima ikutoke. kuhusu eneo siyo lazima liwe la kwako kama ingekuwa hivyo basi kaliakoo nzima zile duka zingekuwa ni za wamilki wa flem tu.hivyo unaweza kukodi eneo kwa mda then ukiimalika unanunua eneo lako,na kuhusu vifaa mkuu sijajua unataka kuanzisha vinywaji vya aina...
  3. N

    Je, nianzie wapi kufikia lengo langu?

    Kama mjasiliamal wa kawaida anayeanza na proposal ni ufafanuzi wa hiyo biashala yako.yani wazo lako ambalo liko kichwani Liweke kwenye document na proposal siyo tu kuombea pesa yani mkopo hata kuomba vibali inahusika lazima wajue ABC ya hicho unachotaka kuanzisha waweke kwenye kumbukumbu zao ili...
  4. N

    Je, nianzie wapi kufikia lengo langu?

    TMDA now wanajihusisha na madawa tu chakula walipokonywa wakapewa TBS
  5. N

    Je, nianzie wapi kufikia lengo langu?

    Ukitaka kuanzisha kiwanda cha vinywaji kwanza kabisa andaa eneo,pia andaa proposal na chukua sample ya hicho kinywaji peleka TBS,MKEMIA n.k upewe kibali baada ya kupima sample yako na baada ya hapo nenda TRA kujisajiri uanze kulipa kodi.kumbuka mamlaka hizo TBS,MKEMIA n.k lazima zije site...
  6. N

    KERO Ofisi ya kupokelea mizigo ya mabasi ya Happy Nation jijini Dar es Salaam si salama kwa uhifadhi wa mizigo

    Pia wahudumu wao ni chenga sana hawana customer care wana majibu ya hovyo sana .talehe 17 nilikata ticketi kwao na bus inapaswa kuondoka saa 6 lakini tuliondoka saa 9 jioni lakn baada ya kulalamila walisema kama hutaki kusubiria basi pesa haturudishi na kama hutaki nenda latra kaseme.alfu...
  7. N

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Vipi na GST iko upande gani au ndo njaa?
  8. N

    Interview Afisa utamaduni

    nina swali mfano taasisi wametoa position nyingi za kazi na watu wamefanya tayari oral mwezi 3 lakni katika position hizo kuna position moja bado hawajafanyiwa interview na Latiba wamepangiwa mwezi wa 6.je pdf la kuitwa kazini kwa hawa ambao washafanya interview je linatoka hadi huyu amalize au...
  9. N

    Usaili wa Kuandika Ajira za Walimu Daraja la III C Maswali Gani Yataulizwa?

    nina swali mfano taasisi wametoa position nyingi za kazi na watu wamefanya tayari oral mwezi 3 lakni katika position hizo kuna position moja bado hawajafanyiwa interview na Latiba wamepangiwa mwezi wa 6.je pdf la kuitwa kazini kwa hawa ambao washafanya interview je linatoka hadi huyu amalize au...
  10. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Niulize swali mfano taasisi flan wametangaza job na position nyingine wameshafanya interview ya oral mwezi wa 3 lkn bado position moja haijafanya imepangiwa mwezi 6.je hizi position nyingine zishafanya inabidi wasubrie hadi huyu amalize au pdf linaweza kutoka tu hata kama huyu bado hajafanya?
  11. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu et kati ya TBS na GST wapi kuna salary nzuri kwa technician?
  12. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nilipoona tu picha kwenye profile yako kabla sijasoma ujumbe wako nikajua tu moja kwa moja una akili sana na hekima
  13. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mbona inatokea hii sana Mkuu ikiwa waombaji ni wachache kwahyo inakuwa haina maana ya mchujo.ww angalia vizuri pdf za uitwa interview kuna sehemu juu watu wameitwa interview ya mchujo yan kuandika wengine wameitwa interview ya oral tu.kwahyo inatokea sana kutokana na wingi wa waombaji
Back
Top Bottom