Recent content by Nevergive up

  1. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Wambie waelewe Mkuu.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Hayo umeongea wewe.ila nachojua inatokeaga tu mkuu nii ni mfumo pindi Fulani inazingua. Ww hujawahi kukosea transaction ikaenda Kwa mwingine? Kwahyo wewe mzembe? Acha Upumbavu kalio wewe
  3. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Naichafuaje mkuu? Unataka kusema hiyo transaction nimebuni? Mbona unakuwa mxenge Sasa,nimesema talehe 7 niliangalia Salio kwenye account yangu nikakuta kitita hicho lkn baada ya kuangalia Tena wakazitoa.kifupi nilipozoona niliendelea na mishe zangu nikakaa kama dakika 45 nikaangalia Salio...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Tatizo unakichwa kigumu .Sasa hiyo transaction nimetoa wapi?
  5. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Kama imejirudia hayo ndo makosa wamefanya dable.sasa unabisha nini hapo siyo Trion 10?
  6. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Inajirudiaje mara mbili Sasa? Bc na wewe angalia salio ijirudie
  7. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Sawa ila ndo ukwel
  8. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Hpn mkuu nikwel why Nije nidanganye hapa jf? Na ushahidi nimetoa
  9. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Hata mia sikuitaka Mkuu sijafunzwa hivyo niliacha wakaivuta wao
  10. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Yes
  11. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Ndio hivyo Sasa uzuri transaction hiyo hapo nimeambatanisha
  12. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Ushahidi huo hapo je nime edit kwani?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Tokea nijiunge jf hii ndo I'd yangu. Mkuu nimkimbie nani? Sijaiba na sijatoa hata mia na imerudi
  14. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Hata hivyo sijachukua hata Acha nife ila kumbuka cha mtu mavi
  15. N

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Hata hivyo sijachukua hata mia
Back
Top Bottom