Hayo umeongea wewe.ila nachojua inatokeaga tu mkuu nii ni mfumo pindi Fulani inazingua. Ww hujawahi kukosea transaction ikaenda Kwa mwingine? Kwahyo wewe mzembe? Acha Upumbavu kalio wewe
Naichafuaje mkuu? Unataka kusema hiyo transaction nimebuni? Mbona unakuwa mxenge Sasa,nimesema talehe 7 niliangalia Salio kwenye account yangu nikakuta kitita hicho lkn baada ya kuangalia Tena wakazitoa.kifupi nilipozoona niliendelea na mishe zangu nikakaa kama dakika 45 nikaangalia Salio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.