Recent content by Nevergive up

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kijana mwenzangu usikate tamaa maisha yanawezekana

    Sikusomea udactari Mkuu sababu form 4 nilizingua nilipiga 4 ya 28
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kijana mwenzangu usikate tamaa maisha yanawezekana

    Hahaha hapana Mkuu
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kijana mwenzangu usikate tamaa maisha yanawezekana

    Kijana MWENZANGU acha kukata tamaa maisha yanawezekana ni kuamua na kusimamia ndoto zako. Nilimaliza form 4 mwaka 2017 ndoto zangu ni kuwa doctor lakini matokeo yalipotoka Aiseee sikuamini nilipiga 4 ya 28 ingawa masomo ya sayansi nimepiga D zote. Nikawacheki wazazi nikawaomba wanipeleke chuo...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Anahitajika kinyozi Dodoma

    Huna mawasiliano yake?
  5. N

    JamiiForums Tanzania Anahitajika kinyozi Dodoma

    Wakuu kama Kuna mtu unamfahamu Yuko Dodoma ni kinyozi anahitajika ,Kuna saloon ya kawaida inahitaji Kinyozi .ataachiwa ofisi awe anatoa kipande Kwa boss
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kinyozi anahitajika dodoma

    Mkuu nishatoa maelekezo.anahitajika dodoma.nimesema saloon yan ya kawaida .akipatikana ndo tutajua hayo mengine uliyouliza.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kinyozi anahitajika dodoma

    Kinyozi anahitajika dodoma akabidhiwe ofisi.kama uko interested nicheki PM
  8. N

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Mkuu kivipi eb maelezo kidogo usituache njia panda
  9. N

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Hongera mkuu aisee.je ulitumia platform ipi?
Back
Top Bottom