Recent content by never-ending battle

  1. never-ending battle

    JamiiForums Tanzania PICHA: Kumbe CAG Mstaafu CPA Ludovick Utouh Bado ni moto mkali, asema Nchi haiwezi kukuzwa kwa Kodi na Mikopo peke yake

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Ludovick Utouh, amesema mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) umekuwa ukipingwa kimyakimya na baadhi ya watendaji wa Serikali kutokana na kuziba mianya ya ubadhirifu wa fedha za umma. Utouh ametoa kauli hiyo...
  2. never-ending battle

    JamiiForums Tanzania Prof. Lettice: Kama mmeshindwa kuziba Mabomba tupeni sekta binafsi

    Naona PPP imevamiwa na maprofesa
  3. never-ending battle

    JamiiForums Tanzania Prof. Lettice: Kama mmeshindwa kuziba Mabomba tupeni sekta binafsi

    Profesa ataka sekta binafsi iokoe mamlaka za maji nchini Kongamano la Kitaifa kuhusu Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika Sekta ya Maji lililofanyika Mei 9, 2026 jijini Dar es Salaam limeibua mjadala kuhusu changamoto za ufanisi, ucheleweshaji wa huduma na mianya ya rushwa...
  4. never-ending battle

    JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu Ludovick Utouh afichua kwanini baadhi ya Vigogo wanakimbia PPP, 'Kudokoa asilimia 10 hakuna tena'

    Huyu alifaa kuwa Waziri angesaidia sana nchi
  5. never-ending battle

    JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu Ludovick Utouh afichua kwanini baadhi ya Vigogo wanakimbia PPP, 'Kudokoa asilimia 10 hakuna tena'

    Biashara as usual, Ndio maana kelele zilikuwa kubwa
Back
Top Bottom