Habari wadau , Nina gari yenye engine ya 1zz ina tatizo la engine kutetemeka na rough idle sana sana ikiwa silence au slow speed, pia exhaust ina tetemeka mpaka inagusana na body.
Nilienda kwa fundi akafanya;
1. Kusafisha fuel filter.
2. kubadili spurk plug
3. kusafisha nozzle.
4. kubadilsha...
Habari Wadau! Nina gari Aina ya premio engine 1zz Ina tatizo la kukosa nguvu mlimani na kuchelewa kuchanganya hata kuovertake Ni shida, ukikanyaga mafuta inatoa mlio kama wa kuchomea kwa gesi. Mara nyingi huwa inapaki hata mwezi bila kutembea , nimebadilisha spark plugs imebadilika kidogo lakn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.