Recent content by Nelly Gerald

  1. N

    Maisha ya advance tabu

    shule yetu haina day yote ni adv tupu na ni boarding, ila nashukuru sana kiche kwa ushauri wako
  2. N

    Maisha ya advance tabu

    actually upo right kiche bt mambo hayaendi mzee,, msuli haupandi hata theluthi
  3. N

    Maisha ya advance tabu

    Yahhh mi niko milambo boyz,ila Mazigazi unavyosema hama kombi unamaanisha nn mana itakuwa ni kitu cha kushangaza kidogo kwanza shule gan unahama comb ssiv,na kumbuka term ya kwanza ndo ishaisha sa sijakwelewa unamaanisha nn
  4. N

    Maisha ya advance tabu

    Dahh naombeni msaada ndugu zanguni, Actually mimi ni mwanafunzi wa form 5 PCM (Milambo Men High School) In short ni kwamba kila nikigusa kitu hakiendi mpaka nahisi kuchanganyikiwa maana kumbuka physics sio mziki mdogo na never hakunaga mkali wake. Pure maths. ndo hiyo inavuruga kabisa na...
Back
Top Bottom