Story: MCHUNGAJI MCHAWI.
Mtunzi: Nellove
Episode: 03
WhatsApp:0759941164
Ilipoishia...
"Kama Hela zimepatikana basi usiku wa leo tutoke hapa tuelekee huko Tungi la sivyo tutampoteza" alisema baba mdogo wa Joshua.
Endelea sasa...
Maandalizi yalifanyika na majira ya saa nne za usiku wenye...
Story: MCHUNGAJI MCHAW.
Mtunzi: Nellove
Episode: 02
WhatsApp:0759941164
Ilipoishia...
Dakika chache tu baadaye [emoji83][emoji88]Fuvu lenye mapembe lilitokea na kuanza kuzunguka juu yake huku likifuka moshi,,, nayo ile hali mbaya ilipotea ghafla.
Endelea...
Ile hali mbaya ilipotoweka tu na...
Story: MCHUNGAJI MCHAWI.
Mtunzi: Nellove😎
Episode: 01
WhatsApp: 0759941164
"Naitwa Juliana. Napenda kumshukuru sana Mungu mwenyezi kwa kunitendea muujiza mkubwa maishani mwangu. Sikuwahi kutegemea kama Mama yangu ataweza kutembea tena lakini kwa uwezo wa Mungu anatembea sasa" ilikuwa sauti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.