Niko Mwanza hali ya hewa naona ni yakawaida sio joto sana sio baridi,kuhusu ukubwa na vipimo vya hizi green house sijui kwa kweli labda niende na mtaalam anidadavulie zilivyo na size zake.
Bado najifunza Kilimo,ninazo green house kubwa 7 ambazo nimepewa niinvest baada ya kuonyesha interest kwenye Kilimo.Zote zina system ya drip irrigation, Maji ya kutosha na full equiped.Zipo Mwanza.
Je nilime nini, na Kama mwanafunzi na mgeni katika mambo ya kilimo hakitanigharimu Sana.Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.