Ujerumani ndio ilikuwa inagharamia huduma za Wamama wajawazito kujifungua watoto hapa Tanzania. Lakini Jiwe kwa ulevi wa Madaraka alisababisha Wajerumani kujitoa.
Leo mwananchi maskini ndiye analazimika kulipia gharama kubwa za kujifungua mtoto kwenye hospitali za Serikali ambayo haijali...
Kiburi cha Siasa za Kiimla (Ujamaa)! Kama hizi zimeiponza Zimbabwe! Wazimbabwe walihamasishwa kuufurahia Upumbavu kama huu kutoka kutoka kwa Mugabe. Lakini leo Wazimbabwe ni wakimbizi wa Uchumi kutoka nchi yao wenyewe. USA ni wazee wa Vikwazo, jifunzeni kutoka Zimbabwe. Tukiruhusu USA...
Kusema ukweli Mdude Nyakati ana akili kuliko wewe kwa sababu yeye ana Akili ya kujitegemea. Wewe Lucas huna akili kabisa kwani akili yako ni tegemezi kwa Makonda na mama tu.
Kwamba kwa akili yako mbovu baada ya Lisu kusema ukweli kuhusu ubaguzi uliowekwa kikatiba kwa raia wa nchi moja. Badala wewe kupigania ubaguzi uliowekwa kikatiba kuondolewa! Wewe unaung'ang'ania kwa kusaka Teuzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.