Mimi kwa mtazamo wangu kuhusu suala hili zima la kujiunga katika muungano wa shirikisho la Afrika mashariki kwa Tanzania sio busara kabisa kwasababu:
1. Unakuwa huwatendei haki wananchi kwakuwa punde tu litakapoanza kazi shirikisho hilo wananchi wa Tanzania watakosa Ajira kama wengi tujuavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.