Recent content by NDUBWILA

  1. N

    Huyu hafanani na Mwl. Julius Nyerere hata kidogo..!

    Nyimwa vyote ila usinyimwe akili
  2. N

    Bashe: Albert Msando usitafute cheo kwa kupitia mgongo wangu, pambana na hali yako

    Hapo ndio ujue babu zetu hawakukosea waliposema "hasira hasara". Sawa alikuwa ana hasira na hasara ya hasira zake zimeonekana, alipanda tena jukwaani kutengua kauli? Wafuasi wameelewa kuwa ilikuwa ni hasira na ameichukuliaje hasara aliyosababisha?
  3. N

    Rais Magufuli asikitishwa na kifo cha Mwanafunzi wa NIT, aliyeuawa na Polisi

    Ndugu, wengine wapo ili kukamilisha idadi hivyo usijichoshe nao.
  4. N

    Rais Magufuli asikitishwa na kifo cha Mwanafunzi wa NIT, aliyeuawa na Polisi

    Ndugu, unataka kupunguza unenene? Wengine wapo ili idadi itimie kwa hiyo usihangaike nao.
  5. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Acha upotoshaji
  6. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Na katika miongozo hiyo, halitakiwa kuwa na upendeleo.
  7. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Sio kweli, usikurupuke uliza ueleweshwe na kuna mtu aliuliza humu na amejibiwa kwa usahihi. Unapoikuta mada ilishaanza kujadiliwa, ni vyema ukaanzia mwanzo ili uelewe azidi.
  8. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Hakupaswa kuwajibu waandishi wa habari juu ya msimamo wa Kanisa Katoliki, alipaswa kuwaelekeza kwa Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu.
  9. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Hiyo ndio akili ya watanzania wengi ndugu, halafu ndio umasikini uondoke, si rahisi.
  10. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Sidhani kama mleta mada haelewi hili ila inastaajabisha Askofu Pengo anapowasemea maaskofu wengine. Yeye akitoa maoni yake, hakuna Askofu anayesisitiza chochote katika maoni hayo hata kama ni tofauti na mtazamo wake ila wenzake wakitoa maoni ambayo ni tofauti na ya kwake yeye anasisitiza kuwa...
  11. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Hapana, anaidhalilisha Injili ya Yesu Kristo na Yesu Kristo mwenyewe.
  12. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Samahani ndugu, wewe ni mkatoliki?
  13. N

    Barua ya wazi kwenda kwa Askofu Kardinali Pengo

    Hata mimi ni kardinari wangu lakini sikubaliani naye katika haya. Watanzania wenzangu, uzalendo si kushabikia au kutetea vyama bali kushabikia na kutetea taifa.
  14. N

    ARUMERU, ARUSHA: Katibu wa CHADEMA Kata ya Ambureni na wakala Mmoja watekwa. Gari Aina ya Rav 4 latumika

    Mamlaka husika inatakiwa kutoa majibu ya huu utekaji wa mara kwa mara. Hivi kweli watanzania tumefika mahali haya mambo yanatokea halafu wafia vyama wanashutumiana mitandaoni bila mamlaka husika kutolea maelezo na watu kuchukuliwa hatua za kisheria? Halafu bado mnataka watanzania tuwe na imani...
Back
Top Bottom