Mawazo mazuri, nami nakubaliana nawe. Tumewashika mkono siku nyingi, tuliwapokea wakimbizi miaka mingi, wameishi Uganda, Tanzania (kwa wingi sana) na hata Kenya. Tumewafanyia hisani ya kutosha, na huu naamini ndio ujirani mwema. Lakini viumbe wazito hawa, hawabebeki! Wajirekebishe kwanza kasoro...