huyu jamaa mwanzoni alikuwaga RTD, Baadae akaenda Radio Free Africa na Star Tv huko Mwanza, halafu 2008 kama sikosei akaingia TBC 1 YA ENZI ZILE ZA tIDO na jamaa ndiyo alikuwa nasoma taarifa za habari karibu kila siku, halafu tena akahamia Radio 5 kule kwa Lowassa arusha kabla ya kurudi tena...