Habari za leo wapendwa, Katika muendelezo wa ziara za mh.Rais katika kanda ya ziwa ,mengi yanatokea,na mengi yataendelea kutokea.
Hii inashaabiana moja kwa moja na kauli ya wahenga inayosema "kwenye wengi kuna mengi"
Binafsi sishangazwi sana na mijadala mbalimbali inayoendelea kwenye mitandao...
Nimeona kaka imenipa picha kuwa kuna kikundi cha watu wachache kwenye mitandao kazi yao ni kueneza chuki kwa Rais wetu kipenzi ,ila site Rais anapendwa mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.