Inauzwa shs million 20, Kiwanja kimepimwa na kina hati , haina mgogoro wowote wa kifamilia au urithi (ya kwangu mwenyewe), iko chidachi east karibu na kibao shule ya Sekondari Mkonze Iringa Road, ina vyumba vitatu - kimoja master, sitting room,dinning room, kitchen na stoo. bado kupaua.