Recent content by ndelex83

  1. N

    Iringa - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Jamani Nina maoni humu mnabishana vitu having msingi hivi kuna MTU alimshikia mwenzie peni wakati wa kupiga kura tukae tukubaliane na matokeo kura ilikua ni siri ya mtu tho mnarumbana nini sasa
  2. N

    CCM Mpeni Ukweli Magufuli, Ajiandae Kisaikolojia

    Siwezi kataa huo ni mtazamo wako
  3. N

    Lowassa awadhihaki Watanzania eti TANU na CCM havijawasaidia

    Unajua vijana hasa sisi tunaoshinda vijiweni tumekua tunatumiwa bila kujitambua na hawa wanasiasa tuwe makini na wachambuzi wa kila kitu kwa hawa wagombea wetu la sivyo tutajikuta tuliingiza taiga katika shimo ambalo tutashindwa hata kutoka yangu hayooo tuu huwa namalizia akili kuuu mkichwaa
  4. N

    Wimbi la Mh. Magufuli Mtwara

    25 is very meaningfully to us time will tell the true of our choise
  5. N

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Ukweli unaumaa lakini utabaki kua ukweli ukikataa utabaki hivyohivyo
Back
Top Bottom