uwe mwangalifu sana ,hii ni kinyume na maadili ya Mungu,kilichokupeleka ni biashara, fanya biashara.ukijiachia tuu,umerudi na ukimwi kwani yaelekea hii ni tabia yake na wewe si wa kwanza. hivyo kuna uwezekano ukarudi na ukimwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.