Sawa tumekusikia. Dawa ya asili ipo. Unapata dawa mbili , moja ni ya kunywa kila siku kwa mwezi mzima.
Ingine utakuwa unafunga shingoni juu ya goita kila siku kwa muda wa mwezi mzima pia maana zinakwenda
pamoja. Hiyo ya kufunga inabadilishwa mpya kila siku.
Ya kufunga imechanganywa madini...
Hii ni dawa ya uhakika inayotibu vidonda vya tumbo kwa asilimia mia moja.
Ni dawa ya asili iliyochanganywa miti miwili na imefanyiwa utafiti wa kina na kupimwa, haina madhara yoyote.
Imeshatibu watu wengi na wakapona kabisa hakuna aliyetumia akaacha kupona.
Mtu yeyote mwenye shida ya vidonda vya...
Ninayo projector aina ya SHARP
MULTIMEDIA PROJECTOR
MODEL:-
XR-20X /XR-20S
XR-11XC/XR-10S
OPERATION MANUAL
Bado ni mpya haijatumika. Ukinunua unapata na manual yake. Mimi niliinunua Marekani na ninaiuza kwa 1,200,000 Tsh /= Anayehitaji apige simu namba 0754 806828.
Dawa ya kisigino kinachouma ni kupakaa mchanganyiko wa mafuta ya taa na mafuta ya alizeti iliyochanganywa katika ratio iliyosawa. unapaka tu asubuhi na jioni kwa siku chache kama siku nne au zaidi kidogo na utapona kabisa, ukipenda unaweza kuwasiliana na mimi kwa maelezo zaidi au kama utapenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.