Recent content by NCHI YANGU TZ

  1. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    mimi sigombei nafasi yoyote leo, kesho na kesho kutwa ila nimeamua kuyapenda mageuzi hata wao viongozi wanatambua hilo
  2. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    nimeandika hapa kwasababu moja tu kiongozi yeyote wa chadema alipo aelewe kwani hawa hawatusikilizi ni miungu watu, wametoka na tabia walizokua nazo ccm wameamishia cdm
  3. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    NANI anaongelea uchaguzi wa kata hapa???????????????????? tunaongelea mgogoro uliopo katika kata nilizozitaja, kwanini mnaficha mimi sio mwehu mgogoro wa IRINGO ulianza baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa, jiulize kwa nini muda wote huo sijauwezka hapa jamvini hadi jana nilipoamua kuuleta...
  4. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    Nashukuru kwa uelewa mpana wa jambo hili unajua ninachokisema nakumaanisha katika siasa za musoma kuna tatizo lakini nashangaa viongozi nao wanajibu haya mambo kwa kufunika kombe alienishangaza ni huyu MAGAMBO mpaka nimekata tamaa hata yeye anaweza kujibu kwa namna hii???????????????????????//...
  5. N

    Wanasiasa vijana ni wanafiki, wajivuni na wapenda sifa

    Ivi umesoma iyo mada vizuri je uwa unatembelea wall page yake? au unazungumzia nini?
  6. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    FATILIA MICHANGO YANGU KWANZA NDIO UBWABWAJE, fatilia taarifa MUSOMA ili ujiridhishe kama uamini, Pia ulizia YALIYOMKUTA SALUM MWALIMU UKUMBI WA MCC alafu utanielewa
  7. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    UBARIKIWE. KAZI HUFANYWA IVYO UNAPOKEA KWANZA ALAFU NDO UNATOA MAJIBU, huwa napenda watu wanaopokea madai yoyote yale na kuyafanyia kazi kwanza kabla ya kuanza kutoa majibu
  8. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    mkuu ubarikiwe viongozi wetu wa wilaya kuna tatizo kubwa la upatikanaji wa kpt sasa lazima watu wawe makini ninachokisema kinatafuna chama hapa musoma kwa sasa watu hawawezi kunielewa ila madhara yanayokuja ni makubwa na yatahuzunisha wengi
  9. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    HUU mgogoro ni wa muda mrefu viongozi hawa wasikii la mtu ukisikia wa TAIFA wanaitwa ujue tatizo limeshindikana kumbukeni muda ni mfupi sana kufika uchaguzi ukiendelea mgogoro huu unakiumiza chama, haya nayowaeleza hao viongozi wa TAIFA wanayajua
  10. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    POOR YOU, hata kufikiria tu hutaki unapewa taarifa umeshatoa jibu bila hata kuuliza wadau wenzio, ungekuwa na busara ungewatafuta waliopo kwenye kata nilizozitaja kujua je haya yanayosemwa yapo badala yake umetoa jibu wakati yanayosemwa yanakiumiza chama
  11. N

    Inahitaji Afya, Uadilifu na Uzalendo kufanya haya, aliyoyafanya Kinana

    Kinana anawatapeli wananchi maagizo yake mengi ni hewa tangu kawambwa awashushue na nape wake alafu wakakaa kimya niliwadharau.
  12. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    POOR YOU, hata kufikiria tu hutaki unapewa taarifa umeshatoa jibu bila hata kuuliza wadau wenzio, ungekuwa na busara ungewatafuta waliopo kwenye kata nilizozitaja kujua je haya yanayosemwa yapo badala yake umetoa jibu wakati yanayosemwa yanakiumiza chama
  13. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    HAYA nayokueleza yametokea leo hii ofisi za wilaya wewe uliyemwanachama wa CDM je ulifika kwenye ukumbi kukichangia chama chako?????????????????? mimi unayesema NILICHANGIA 50,000 UKUMBINI
  14. N

    Uongozi wa CHADEMA Taifa njooni Musoma, Mwenyekiti na Katibu Wilaya wanakivuruga chama

    Unasema usilolijua juzi kulikua na CHAGIZO KWA AJILI YA MKOA WA MARA NA MGENI RASMI ALIKUWA SALUM MWALIMU naibu katibu mkuu yaliyotokea yalikuwa ni aibu kubwa kwani ilikuwa inasimamiwa na kanda ambayo ilishindwa hata kugawa kadi kwa wageni ambao walikuwa ni waalikwa, SALUMU ALIYASEMA HAYA NDANI...
Back
Top Bottom