Tangazo Kwa Wanachama na kwa Umma
Chukua taarifa hii kwamba, fomu za kuomba kugombea Udiwani, Uwakilishi na Ubunge kwa tiketi ya Chama cha NCCR-Mageuzi, zitaanza kutolewa kuanzia tarehe 01 Julai, 2025 na mwisho wa kurejesha ni tarehe 22 Julai, 2025.
Fomu zitapatikana katika ofisi za chama...
NCCR-Mageuzi
MKUTANO NA WANAHABARI TAREHE 14 MEI 2025, JIJINI DAR ES SALAAM
Ndugu zetu Wanahabari;
Tunawashukuru kwa kufika.
Tumewaalika hapa ilituweze kuwafikia watanzania wenzetu kuhusu utaratibu wetu na msimamo wetu kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao, ambapo kampeni zake zitaanza mwezi Agosti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.